Flag of Tanzania

Chumba cha Habari

Language: English | Swahili

Speeches Shim

USAID PROTECT, mradi wa miaka mitano wa dola milioni 19.1, ulibuniwa katikati ya janga la ujangili lililoshuhudia Tanzania ikipoteza asilimia 60 ya idadi ya tembo nchini kati ya mwaka 2009 na 2014 pekee.
13-11-2020

Mradi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) wa Kuendeleza Mazingira, Uhifadhi, na Utalii wa Tanzania (PROTECT) ulifanya kikao mtandao kilichorushwa mubashara kusherehekea miaka mitano ya kulinda baioanuai na uchumi unaotokana na utalii.

10-11-2020

Ruth Seleman and Godfrey Bahati, a young couple in Northern Tanzania listen carefully to nurse Damari Kipondya as she counsels them on reproductive health.  Although none of the two appear sick, they have every reason to come to the Ngumo Dispensary in Kwimba, Mwanza region. They are expecting a baby as Ruth is five months pregnant. Moreover, she and her husband live in an area with one of the highest malaria infection rates in the country.

04-11-2020

As in many other countries, wildlife crime in Tanzania was fueled by porous borders, weak legislation, non-deterrent penalties, and ineffective law enforcement, which made the country susceptible to corruption. In responding to this challenge, the Government of Tanzania established the National Taskforce Anti-Poaching (NTAP) and amended the Economic and Organized Crime Control Act (EOCCA 2016) to include wildlife cases as economic crimes, in order to allow for stronger penalties.

22-08-2020

Tanzania imejaliwa kuwa na maliasili nyingi na imeweka kipaumbele katika kulinda usalama wa viumbe hai vyake kwa kuweka zaidi ya asilimia 32 ya eneo lake la ardhi kwenye uhifadhi. 

Serikali ya Marekani yaimarisha mifumo ya afya inayolenga kumaliza janga la VVU nchini Tanzania
17-07-2020

Dar es salaam: Julai 16, wawakilishi kutoka Serikali ya Marekani na Serikali ya Tanzania walishiriki katika kikao-mtandao ambapo walijadili mafanikio na hatua za kuchukua siku zijazo ili kuimarisha  mifumo ya afya nchini Tanzania, kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Afya na Ustawi wa Jamii (CHSSP).

Pages