You are viewing:
Information released online before January, 2021.
Note: Content in this archive site is NOT UPDATED, and external links may not function. External links to other Internet sites should not be construed as an endorsement of the views contained therein.
You are entering the 2017-2020 Archive for the
United States Agency for International Development web site.
If you are looking for current information, visit www.usaid.gov.
(253k) Taarifa ya Waache Wasome
Waache Wasome ni mradi wa miaka mitano ambao unakusudia kuongeza ushiriki na kuhakikisha wasichana walio katika rika balehe wanabakia shuleni katika shule za sekondari. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuongeza viwango vya ushiriki wa wasichana kwa shule za sekondari. Walakini, wakati idadi kubwa ya wavulana na wasichana inaanza kidato cha kwanza kila mwaka, mwisho wa miaka minne, wasichana wengi hawatakuwa tena shuleni. Jitihada za Waache Wasome zimewekwa katika misingi ya kuwawezesha wasichana kuunda na kufikia malengo kwa mustakabali wa maisha yao, wakati wa kushughulikia masuala ya kijamii / jinsia, vizuizi vya kiuchumi, na ukatili vinavyozuia uwezo wao wa kubaki na kufanikiwa shuleni.
Comment
Make a general inquiry or suggest an improvement.