You are viewing:
Information released online before January, 2021.
Note: Content in this archive site is NOT UPDATED, and external links may not function. External links to other Internet sites should not be construed as an endorsement of the views contained therein.
You are entering the 2017-2020 Archive for the
United States Agency for International Development web site.
If you are looking for current information, visit www.usaid.gov.
(160k) Taarifa ya Afya Tanzania
Marekani na Tanzania zimeshirikiana kwa miongo kadhaa kushughulikia mahitaji muhimu ya afya, kwa kuzingatia huduma bora zilizojumuishwa, uimarishaji wa mifumo ya afya, na mienendo ya afya bora. Jitihada hizi zinaunga mkono juhudi za Tanzania za kuboresha mchango wa afya na huduma za afya, ikizingatia ufanisi na uwajibikaji. Mchango wa USAID kwa Serikali ya Tanzania ni pamoja na kufadhili miradi ya kupambambana na VVU / UKIMWI, malaria, kifua kikuu, uzazi wa mpango, afya ya uzazi, lishe, usalama wa afya duniani, na afya ya mama, watoto, na afya ya watoto.
Comment
Make a general inquiry or suggest an improvement.