You are viewing:
Information released online before January, 2021.
Note: Content in this archive site is NOT UPDATED, and external links may not function. External links to other Internet sites should not be construed as an endorsement of the views contained therein.
You are entering the 2017-2020 Archive for the
United States Agency for International Development web site.
If you are looking for current information, visit www.usaid.gov.
Mradi wa USAID Boresha Afya unaboresha Afya – Mradi wa Boresha Afya Southern zone unafanya kazi kushughulikia mapungufu ya huduma za afya katika maeneo yote ya mikoa ya Iringa, Njombe, Morogoro, Lindi, Mtwara, na Ruvuma. Mradi huu hutumia njia inayolenga mahitaji ya mteja katika kutoa huduma kwenye maeneo yenye kiwango cha juu cha VVU, Kifua Kikuu, Malaria, na maeneo yenye uhitaji mkubwa wa huduma za uzazi wa mpango na huduma za afya ya mama na mtoto. Mradi huu unasaidia pia ujumuishaji wa huduma mbali mbali za afya ndani ya vituo, na hivyo kuboresha ufanisi, kuongeza matumizi sahihi ya rasilimali, na kuhakikisha wateja wanapata huduma mbali mbali kutoka eneo moja.
Comment
Make a general inquiry or suggest an improvement.